Friday, 27 September 2013

Ukaguzi wa miradi Ukerewe.


Picha hapo chini yaomwonesha Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Injinia Evalist Ndikilo akiagana na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mwalimu Queen Mwanshinga Mlozi katika kivuko cha Ngoma kuelekea kisolya Bunda, baada ya kumaliza zoezi la ukaguzi wa miladi ya maendeleo Ukerewe. 

No comments:

Post a Comment